Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 56:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 mimi pia nitawaleta katika mlima wangu mtakatifu+ na kuwafanya washangilie ndani ya nyumba yangu ya sala.+ Matoleo yao mazima ya kuteketezwa+ na dhabihu+ zao zitapata kibali juu ya madhabahu yangu.+ Kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya vikundi vyote vya watu.”+

  • Isaya 66:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao kwa kweli watawaleta ndugu zenu wote kutoka katika mataifa+ yote kuwa zawadi kwa Yehova,+ wakiwa juu ya farasi na ndani ya magari na ndani ya magari ya kukokotwa yaliyofunikwa na juu ya nyumbu na juu ya ngamia-jike+ wepesi, mpaka kwenye mlima wangu mtakatifu,+ Yerusalemu,” Yehova amesema, “kama vile wana wa Israeli wanavyoleta zawadi katika chombo safi ndani ya nyumba ya Yehova.”+

  • Ezekieli 20:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “ ‘Kwa maana katika mlima wangu mtakatifu, katika mlima wa kilele cha Israeli,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘huko ndiko wao, nyumba yote ya Israeli ikiwa nzima, itanitumikia, katika nchi ile.+ Nitafurahishwa nao huko, na huko nitaitaka michango yenu na matunda ya kwanza ya matoleo yenu katika vitu vyenu vyote vilivyo vitakatifu.+

  • Yoeli 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nanyi mtajua ya kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu,+ anayekaa katika Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Na Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu;+ wageni nao hawatapita tena kamwe kati yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki