16 Kwa maana kama ninyi mlivyokunywa kwenye mlima wangu mtakatifu, ndivyo mataifa yote watakavyoendelea kunywa daima.+ Nao watakunywa na kumeza wawe kana kwamba hawakupata kuwapo kamwe.
3 “Yehova asema hivi, ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa katikati ya Yerusalemu; na Yerusalemu+ litaitwa jiji la ukweli,+ na mlima wa Yehova+ wa majeshi, ule mlima mtakatifu.’ ”+