Zekaria 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Basi Yehova amesema hivi, ‘ “Nitarudi Yerusalemu kwa rehema nyingi.+ Nyumba yangu itajengwa ndani yake,”+ asema Yehova wa majeshi, “na kamba ya kupimia itanyooshwa juu ya Yerusalemu.” ’+ Malaki 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tangu siku za mababu zenu mmeyaacha masharti yangu wala hamkuyashika.+ Rudini kwangu, nami nitarudi kwenu,”+ Yehova wa majeshi amesema. Nanyi mmesema: “Tutarudi kwa njia gani?”
16 “Basi Yehova amesema hivi, ‘ “Nitarudi Yerusalemu kwa rehema nyingi.+ Nyumba yangu itajengwa ndani yake,”+ asema Yehova wa majeshi, “na kamba ya kupimia itanyooshwa juu ya Yerusalemu.” ’+
7 Tangu siku za mababu zenu mmeyaacha masharti yangu wala hamkuyashika.+ Rudini kwangu, nami nitarudi kwenu,”+ Yehova wa majeshi amesema. Nanyi mmesema: “Tutarudi kwa njia gani?”