Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Utakapokuwa katika dhiki kali na maneno yote haya yawe yamekupata mwishoni mwa siku hizo, basi utarudi kwa Yehova Mungu+ wako na kuisikiliza sauti yake.+

  • Yeremia 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nenda, nawe uitangazie kaskazini+ maneno haya na kusema:

      “‘“Rudi, Ee Israeli mwenye kuasi,” asema Yehova.’+ ‘ “Sitawatazama ninyi kwa hasira,+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,”+ asema Yehova.’ ‘ “Sitaendelea kufungia kinyongo mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Zekaria 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nawe uwaambie, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “ ‘Rudini kwangu,’+ asema Yehova wa majeshi, ‘nami nitarudi kwenu,’+ Yehova wa majeshi amesema.” ’

  • Yakobo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.+ Safisheni mikono yenu, ninyi watenda-dhambi,+ na takaseni mioyo yenu,+ ninyi wenye kusitasita.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki