Yeremia 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nenda uitangazie kaskazini maneno haya:+ “‘“Rudi, Ee Israeli mwasi,” asema Yehova.’+ ‘“Sitakutazama kwa hasira,*+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,” asema Yehova.’ ‘“Sitaendelea kuwa na kinyongo milele. Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:12 jr 150, 152; w07 3/15 9 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:12 Yeremia, kur. 150-152 Mnara wa Mlinzi,3/15/2007, uku. 9
12 Nenda uitangazie kaskazini maneno haya:+ “‘“Rudi, Ee Israeli mwasi,” asema Yehova.’+ ‘“Sitakutazama kwa hasira,*+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,” asema Yehova.’ ‘“Sitaendelea kuwa na kinyongo milele.