Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Ukirudi, Ee Israeli,” asema Yehova,

      “Ukirudi kwangu

      Na ukiondoa sanamu zako zenye kuchukiza kutoka mbele zangu,

      Basi hutakuwa mkimbizi.+

  • Ezekieli 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Waambie, ‘“Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “Mimi sifurahishwi na kifo cha mwovu,+ bali kwamba mtu mwovu abadili njia yake+ na kuendelea kuishi.+ Geukeni, geukeni mziache njia zenu mbaya,+ kwa nini mfe, enyi watu wa nyumba ya Israeli?”’+

  • Hosea 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Enyi Waisraeli, mrudieni Yehova Mungu wenu,+

      Kwa maana mmejikwaa kwa sababu ya kosa lenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki