23 “‘Je, ninafurahia hata kidogo kifo cha mtu mwovu?’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. ‘Je, sipendelei kwamba aziache njia zake naye aendelee kuishi?’+
3 Jambo hilo ni zuri na linampendeza Mwokozi wetu, Mungu,+4 ambaye mapenzi yake ni kwamba watu wa namna zote waokolewe+ na kupata ujuzi sahihi wa kweli.