18 Kwa hiyo basi, kama vile kupitia kosa moja matokeo kwa watu wa namna zote yalikuwa kuhukumiwa hatia,+ vivyo hivyo kupitia tendo moja la kutetewa matokeo kwa watu wa namna zote+ ni wao kutangazwa kuwa waadilifu kwa ajili ya uzima.+
10 Hiyo ndiyo sababu tunafanya kazi kwa bidii na kujitahidi,+ kwa sababu tumemtumaini Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi+ wa watu wa namna zote,+ hasa wa walio waaminifu.