Ezekieli 18:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Jiondoleeni makosa yenu yote mliyofanya+ na mjipatie* moyo mpya na roho mpya,+ kwa nini mfe,+ enyi watu wa nyumba ya Israeli?’ 2 Petro 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova* hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyodhani,* bali ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+
31 Jiondoleeni makosa yenu yote mliyofanya+ na mjipatie* moyo mpya na roho mpya,+ kwa nini mfe,+ enyi watu wa nyumba ya Israeli?’
9 Yehova* hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyodhani,* bali ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+