Zaburi 51:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Umba moyo safi ndani yangu, Ee Mungu,+Na uweke roho mpya ndani yangu,+ iliyo imara. Yeremia 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nami nitawapa moyo mmoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, kwa faida yao wenyewe na kwa faida ya watoto wao baada yao.+ Ezekieli 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami nitawapa moyo wenye umoja,*+ nami nitatia roho mpya ndani yao;+ nami nitauondoa moyo wa jiwe katika miili yao+ na kuwapa moyo wa nyama,*+ Waefeso 4:23, 24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na mnapaswa kuendelea kufanywa upya katika nguvu zinazoongoza akili zenu,*+ 24 na mnapaswa kuvaa utu mpya+ ulioumbwa kupatana na mapenzi ya Mungu katika uadilifu wa kweli na ushikamanifu.
39 Nami nitawapa moyo mmoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, kwa faida yao wenyewe na kwa faida ya watoto wao baada yao.+
19 Nami nitawapa moyo wenye umoja,*+ nami nitatia roho mpya ndani yao;+ nami nitauondoa moyo wa jiwe katika miili yao+ na kuwapa moyo wa nyama,*+
23 Na mnapaswa kuendelea kufanywa upya katika nguvu zinazoongoza akili zenu,*+ 24 na mnapaswa kuvaa utu mpya+ ulioumbwa kupatana na mapenzi ya Mungu katika uadilifu wa kweli na ushikamanifu.