Zaburi 130:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Watu wa Israeli na waendelee kumngojea Yehova,Kwa maana Yehova ni mshikamanifu katika upendo wake,+Naye ana nguvu nyingi za kukomboa. 8 Atawakomboa watu wa Israeli kutoka katika makosa yao yote.
7 Watu wa Israeli na waendelee kumngojea Yehova,Kwa maana Yehova ni mshikamanifu katika upendo wake,+Naye ana nguvu nyingi za kukomboa. 8 Atawakomboa watu wa Israeli kutoka katika makosa yao yote.