Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha wajumbe* wakaenda kotekote Israeli na Yuda wakiwa na barua hizo kutoka kwa mfalme na wakuu wake, kama mfalme alivyoamuru, akisema: “Watu wa Israeli, rudini kwa Yehova Mungu wa Abrahamu, Isaka, na Israeli, ili naye arudi kwa watu waliobaki walioponyoka kutoka mikononi mwa wafalme wa Ashuru.+

  • Isaya 55:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mtafuteni Yehova wakati bado anapatikana.+

      Mwiteni maadamu yuko karibu.+

       7 Mtu mwovu na aiache njia yake+

      Na mtu mbaya mawazo yake;

      Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+

      Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+

  • Hosea 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 “Basi mrudieni Mungu wenu,+

      Dumisheni upendo mshikamanifu na haki,+

      Na sikuzote mumtumaini Mungu wenu.

  • Yoeli 2:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Hata sasa,” asema Yehova, “rudini kwangu kwa mioyo yenu yote,+

      Kwa kufunga+ na kulia na kuomboleza.

      13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu,+

      Nanyi mrudi kwa Yehova Mungu wenu,

      Kwa maana ni mwenye huruma* na rehema, si mwepesi wa hasira,+ naye ana upendo mwingi mshikamanifu,+

      Naye atafikiria upya* msiba aliokusudia kuleta.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki