Hesabu 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ‘Mimi Yehova, si mwepesi wa hasira, nina upendo mwingi mshikamanifu,*+ ninasamehe makosa na uovu, lakini sikosi kamwe kuwaadhibu wenye hatia, ninawaadhibu wana na wajukuu kufikia kizazi cha tatu na cha nne kwa sababu ya makosa ya baba zao.’+ Zaburi 103:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kama mashariki ilivyo mbali sana na magharibi,Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali sana na sisi.+ 13 Kama baba anavyowaonyesha wanawe rehema,Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+ Isaya 43:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+Nami sitazikumbuka dhambi zako.+
18 ‘Mimi Yehova, si mwepesi wa hasira, nina upendo mwingi mshikamanifu,*+ ninasamehe makosa na uovu, lakini sikosi kamwe kuwaadhibu wenye hatia, ninawaadhibu wana na wajukuu kufikia kizazi cha tatu na cha nne kwa sababu ya makosa ya baba zao.’+
12 Kama mashariki ilivyo mbali sana na magharibi,Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali sana na sisi.+ 13 Kama baba anavyowaonyesha wanawe rehema,Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+
25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+Nami sitazikumbuka dhambi zako.+