Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+

      Alikuwa akiwasamehe* kosa lao, naye hakuwaangamiza.+

      Mara nyingi aliizuia hasira yake+

      Badala ya kuichochea ghadhabu yake yote.

  • Isaya 49:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Je, mwanamke anaweza kumsahau mtoto wake anayenyonya

      Au asimhurumie mwana wa tumbo lake?

      Hata wanawake hawa wakisahau, mimi siwezi kamwe kukusahau.+

  • Malaki 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Nao watakuwa wangu,”+ asema Yehova wa majeshi, “siku nitakayotokeza mali ya pekee.*+ Nitawahurumia, kama mwanamume anavyomhurumia mwana wake anayemtumikia.+

  • Yakobo 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na sala ya imani itamponya huyo mgonjwa,* na Yehova* atamwinua. Pia, ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki