Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tafadhali, wasamehe watu hawa dhambi zao kulingana na upendo wako mwingi mshikamanifu, kama ambavyo umekuwa ukiwasamehe tangu walipotoka Misri mpaka sasa.”+

      20 Basi Yehova akasema: “Nimewasamehe kama ulivyoomba.+

  • Yeremia 30:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana mimi niko pamoja nawe,” asema Yehova, “ili nikuokoe.

      Lakini nitaleta maangamizi katika mataifa yote ambako nilikutawanya;+

      Lakini wewe, sitakuangamiza.+

      Nitakutia nidhamu* kwa kiwango kinachofaa,

      Nami sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.”+

  • Maombolezo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hatujaangamia kwa sababu ya upendo mshikamanifu wa Yehova,+

      Kwa maana rehema zake hazikomi kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki