Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na kwa sababu ya rehema zako nyingi, hukuwaangamiza+ wala kuwaacha, kwa maana wewe ni Mungu mwenye huruma* na rehema.+

  • Yeremia 30:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana mimi niko pamoja nawe,” asema Yehova, “ili nikuokoe.

      Lakini nitaleta maangamizi katika mataifa yote ambako nilikutawanya;+

      Lakini wewe, sitakuangamiza.+

      Nitakutia nidhamu* kwa kiwango kinachofaa,

      Nami sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.”+

  • Mika 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,

      Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+

      Hutaendelea kuwa na hasira milele,

      Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki