Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+ 7 ninawatendea maelfu kwa upendo mshikamanifu,+ ninasamehe makosa na uovu na dhambi,+ lakini sikosi kamwe kuwaadhibu wenye hatia,+ ninawaadhibu wana na wajukuu kufikia kizazi cha tatu na cha nne kwa sababu ya makosa ya baba zao.”+

  • Yeremia 46:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 ‘Lakini wewe, mtumishi wangu Yakobo, usiogope,

      Usiwe na hofu, Ee Israeli.+

      Kwa maana, nitakuokoa kutoka mbali sana

      Na uzao wako* kutoka katika nchi walikopelekwa utekwani.+

      Yakobo atarudi na kuwa na utulivu bila usumbufu,

      Bila mtu wa kuwaogopesha.+

      28 Basi usiogope, mtumishi wangu Yakobo,’ asema Yehova, ‘kwa maana niko pamoja nawe.

      Nitayaangamiza kabisa mataifa yote ambako nilikutawanya,+

      Lakini wewe sitakuangamiza.+

      Nitakutia nidhamu* kwa kiwango kinachofaa,+

      Lakini sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki