Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kisasi ni changu, na malipo,+

      Wakati utakapofika ambapo mguu wao utateleza,+

      Kwa maana siku ya msiba wao iko karibu,

      Na kinachowasubiri kitafika haraka.’

  • Yoshua 24:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kisha Yoshua akawaambia watu, “Hamwezi kumtumikia Yehova, kwa maana yeye ni Mungu mtakatifu;+ ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake.+ Hatawasamehe uasi wenu na dhambi zenu.+

  • Waroma 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini kulingana na ukaidi wako na moyo wako usiotubu, unajiwekea akiba ya ghadhabu katika siku ya ghadhabu na ya kufunuliwa kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+

  • 2 Petro 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hakika Mungu hakujizuia kuwaadhibu malaika waliofanya dhambi,+ bali aliwatupa ndani ya Tartaro,*+ akiwaweka kwenye minyororo* ya giza zito ili wawekwe akiba kwa ajili ya hukumu.+

  • Yuda 14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Enoko,+ wa kizazi cha saba kutoka kwa Adamu, alitabiri pia kuwahusu aliposema: “Tazama! Yehova* alikuja pamoja na maelfu* ya watakatifu wake+ 15 ili kuwahukumu wote,+ na kuwaonyesha wale wasiomwogopa Mungu kwamba wana hatia kwa matendo yao yote ya kutomwogopa Mungu waliyotenda bila kumwogopa Mungu, na kwa maneno yote yenye kushtua ambayo watenda dhambi wasiomwogopa Mungu walisema kumhusu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki