Nahumu 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake+ naye hulipiza kisasi;Yehova hulipiza kisasi naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu yake.+ Yehova hulipiza kisasi dhidi ya maadui wake,Naye hukusanya ghadhabu kwa ajili ya maadui wake. Waroma 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi bali iachieni nafasi ghadhabu;*+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”*+ Waebrania 10:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa maana tunamjua Yule aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa.” Na tena: “Yehova* atawahukumu watu wake.”+
2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake+ naye hulipiza kisasi;Yehova hulipiza kisasi naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu yake.+ Yehova hulipiza kisasi dhidi ya maadui wake,Naye hukusanya ghadhabu kwa ajili ya maadui wake.
19 Wapendwa, msijilipizie kisasi bali iachieni nafasi ghadhabu;*+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”*+
30 Kwa maana tunamjua Yule aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa.” Na tena: “Yehova* atawahukumu watu wake.”+