Kumbukumbu la Torati 32:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisasi ni changu, na malipo,+Wakati utakapofika ambapo mguu wao utateleza,+Kwa maana siku ya msiba wao iko karibu,Na kinachowasubiri kitafika haraka.’ Kumbukumbu la Torati 32:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Nikiunoa upanga wangu unaometametaNa kuutayarisha mkono wangu ili uhukumu,+Nitawalipiza kisasi maadui wangu+Na kuwalipa wale wanaonichukia. Isaya 59:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Atawathawabisha kulingana na matendo yao:+ Ghadhabu kwa wapinzani wake, kisasi kwa maadui wake.+ Naye atavilipa visiwa kile kinachostahili.
35 Kisasi ni changu, na malipo,+Wakati utakapofika ambapo mguu wao utateleza,+Kwa maana siku ya msiba wao iko karibu,Na kinachowasubiri kitafika haraka.’
41 Nikiunoa upanga wangu unaometametaNa kuutayarisha mkono wangu ili uhukumu,+Nitawalipiza kisasi maadui wangu+Na kuwalipa wale wanaonichukia.
18 Atawathawabisha kulingana na matendo yao:+ Ghadhabu kwa wapinzani wake, kisasi kwa maadui wake.+ Naye atavilipa visiwa kile kinachostahili.