Ayubu 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana atamlipa mwanadamu kulingana na matendo yake+Na kumletea matokeo ya njia zake. Zaburi 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+ Yeremia 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+Ninakagua mawazo ya ndani kabisa,*Ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,Kulingana na matunda ya matendo yake.+
12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+
10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+Ninakagua mawazo ya ndani kabisa,*Ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,Kulingana na matunda ya matendo yake.+