Zaburi 36:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Jinsi upendo wako mshikamanifu ulivyo na thamani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,Wanadamu hukimbilia.+ Zaburi 86:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na huruma,*Si mwepesi wa hasira, nawe una upendo mwingi mshikamanifu na uaminifu.*+ Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+
7 Jinsi upendo wako mshikamanifu ulivyo na thamani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,Wanadamu hukimbilia.+
15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na huruma,*Si mwepesi wa hasira, nawe una upendo mwingi mshikamanifu na uaminifu.*+
18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+