-
Ufunuo 20:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Nami nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wakiwa wamesimama mbele ya kile kiti cha ufalme, na vitabu vya kukunjwa vikafunguliwa. Lakini kitabu kingine cha kukunjwa kikafunguliwa; hicho ni kitabu cha uzima.+ Wafu wakahukumiwa kutokana na yale mambo yaliyoandikwa katika vile vitabu kulingana na matendo yao.+ 13 Na bahari ikawatoa wafu waliokuwa ndani yake, na kifo na Kaburi* vikawatoa wafu waliokuwa ndani yake, nao wakahukumiwa kila mmoja kulingana na matendo yake.+
-