Zaburi 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+ Methali 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ukisema: “Lakini hatukujua jambo hili,” Je, Yule anayeichunguza mioyo* hatatambua hilo?+ Naam, Yule anayekutazama atajuaNaye atamlipa kila mwanadamu kulingana na matendo yake.+ Mathayo 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana Mwana wa binadamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, kisha atamlipa kila mtu kulingana na mwenendo wake.+
12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+
12 Ukisema: “Lakini hatukujua jambo hili,” Je, Yule anayeichunguza mioyo* hatatambua hilo?+ Naam, Yule anayekutazama atajuaNaye atamlipa kila mwanadamu kulingana na matendo yake.+
27 Kwa maana Mwana wa binadamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, kisha atamlipa kila mtu kulingana na mwenendo wake.+