Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 62:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Pia upendo mshikamanifu ni wako, Ee Yehova,+

      Kwa maana unamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.+

  • Methali 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ukisema: “Lakini hatukujua jambo hili,”

      Je, Yule anayeichunguza mioyo* hatatambua hilo?+

      Naam, Yule anayekutazama atajua

      Naye atamlipa kila mwanadamu kulingana na matendo yake.+

  • Luka 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana yeyote atakayenionea aibu mimi na maneno yangu, Mwana wa binadamu atamwonea aibu mtu huyo, atakapokuja katika utukufu wake, na wa Baba, na wa malaika watakatifu.+

  • Waroma 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+

  • 1 Petro 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na ikiwa mnamwitia Baba ambaye huhukumu bila ubaguzi+ kulingana na matendo ya kila mmoja, jiendesheni kwa kuogopa+ wakati ambao ninyi ni wakaaji wa muda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki