Mathayo 10:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini yeyote anayenikana mbele ya watu, mimi pia nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.+ Marko 8:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa maana yeyote atakayenionea aibu mimi na maneno yangu katika kizazi hiki chenye uzinzi * na chenye dhambi, Mwana wa binadamu atamwonea aibu pia+ atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”+ 2 Timotheo 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana, naye pia atatukana sisi;+
38 Kwa maana yeyote atakayenionea aibu mimi na maneno yangu katika kizazi hiki chenye uzinzi * na chenye dhambi, Mwana wa binadamu atamwonea aibu pia+ atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”+
12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana, naye pia atatukana sisi;+