7 Kwa maana Mungu hakutupatia roho ya woga,+ bali roho ya nguvu+ na ya upendo na ya utimamu wa akili. 8 Basi usione aibu kuhusu ushahidi juu ya Bwana wetu,+ au kunihusu mimi, mfungwa kwa ajili yake, bali shiriki katika kuvumilia dhiki+ kwa ajili ya habari njema kwa kutegemea nguvu za Mungu.+