Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Lakini yeyote anayenikana mbele ya watu, mimi pia nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.+

  • Luka 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana yeyote atakayenionea aibu mimi na maneno yangu, Mwana wa binadamu atamwonea aibu mtu huyo, atakapokuja katika utukufu wake, na wa Baba, na wa malaika watakatifu.+

  • Luka 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini yeyote anayenikana mbele ya watu atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.+

  • 2 Timotheo 1:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana Mungu hakutupatia roho ya woga,+ bali roho ya nguvu+ na ya upendo na ya utimamu wa akili. 8 Basi usione aibu kuhusu ushahidi juu ya Bwana wetu,+ au kunihusu mimi, mfungwa kwa ajili yake, bali shiriki katika kuvumilia dhiki+ kwa ajili ya habari njema kwa kutegemea nguvu za Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki