Wakolosai 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ninashangilia sasa katika mateso yangu kwa ajili yenu,+ nami ninakabili dhiki za Kristo ambazo bado hazimo katika mwili wangu kwa ajili ya mwili wake,+ ambao ni kutaniko.+ 2 Timotheo 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ukiwa mwanajeshi mwema+ wa Kristo Yesu, shiriki katika kuvumilia dhiki.+
24 Ninashangilia sasa katika mateso yangu kwa ajili yenu,+ nami ninakabili dhiki za Kristo ambazo bado hazimo katika mwili wangu kwa ajili ya mwili wake,+ ambao ni kutaniko.+