15 Kwa maana hamkupokea roho ya utumwa inayosababisha woga tena, bali mlipokea roho ya kufanywa kuwa wana, roho ambayo kupitia hiyo tunapaza sauti: “Abba,* Baba!”+
2 Kwa maana ingawa kwanza tulikuwa tumeteseka na kudharauliwa huko Filipi,+ kama mnavyojua, tulijipa ujasiri* kupitia Mungu wetu ili tuwatangazie ninyi habari njema ya Mungu+ licha ya upinzani.*