Mathayo 10:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini yeyote anayenikana mbele ya watu, mimi pia nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.+ Luka 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini yeyote anayenikana mbele ya watu atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.+