Mathayo 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana Mwana wa binadamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, kisha atamlipa kila mtu kulingana na mwenendo wake.+ Mathayo 25:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Mwana wa binadamu+ atakapokuja katika utukufu wake, pamoja na malaika wote,+ ataketi kwenye kiti chake cha ufalme chenye utukufu. 2 Wathesalonike 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini ninyi mnaopata dhiki mtapata kitulizo pamoja nasi wakati wa ufunuo wa Bwana Yesu+ kutoka mbinguni akiwa pamoja na malaika wake wenye nguvu+
27 Kwa maana Mwana wa binadamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, kisha atamlipa kila mtu kulingana na mwenendo wake.+
31 “Mwana wa binadamu+ atakapokuja katika utukufu wake, pamoja na malaika wote,+ ataketi kwenye kiti chake cha ufalme chenye utukufu.
7 Lakini ninyi mnaopata dhiki mtapata kitulizo pamoja nasi wakati wa ufunuo wa Bwana Yesu+ kutoka mbinguni akiwa pamoja na malaika wake wenye nguvu+