Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hata hivyo, Yehova akamwambia Musa: “Yeyote aliyenitendea dhambi, nitamfuta katika kitabu changu.

  • Zaburi 69:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na wafutwe kutoka katika kitabu cha walio hai,*+

      Na wasiorodheshwe miongoni mwa waadilifu.+

  • Danieli 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Wakati huo Mikaeli*+ atasimama,* yule mkuu+ anayesimama kwa ajili ya watu wako.* Na kutakuwa na wakati wa taabu ambao haujawahi kamwe kutokea tangu kuanzishwa kwa taifa lolote mpaka wakati huo. Na wakati huo watu wako wataponyoka,+ kila mtu atakayepatikana ameandikwa katika kile kitabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki