16 Wakati huo wale wanaomwogopa Yehova walizungumza kila mmoja na mwenzake, na Yehova akaendelea kuwakazia uangalifu na kusikiliza. Na kitabu cha kumbukumbu kikaandikwa mbele zake+ kwa ajili ya wale wanaomwogopa Yehova na wale wanaolitafakari* jina lake.+
5 Kwa hiyo, yule atakayeshinda+ atavikwa mavazi meupe,+ na kwa vyovyote sitalifuta* jina lake kutoka katika kitabu cha uzima,+ bali nitalikiri jina lake mbele za Baba yangu na mbele ya malaika zake.+