Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Lakini sasa ukipenda, wasamehe dhambi yao;+ la sivyo, tafadhali nifute katika kitabu chako ulichoandika.”+

  • Danieli 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Wakati huo Mikaeli*+ atasimama,* yule mkuu+ anayesimama kwa ajili ya watu wako.* Na kutakuwa na wakati wa taabu ambao haujawahi kamwe kutokea tangu kuanzishwa kwa taifa lolote mpaka wakati huo. Na wakati huo watu wako wataponyoka,+ kila mtu atakayepatikana ameandikwa katika kile kitabu.+

  • Wafilipi 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndiyo, ninakuomba pia, ukiwa mfanyakazi mwenzangu wa kweli,* uendelee kuwasaidia wanawake hao ambao wamejitahidi* sana pamoja nami kwa ajili ya habari njema, pamoja na Klementi na vilevile wale wafanyakazi wenzangu wengine, ambao majina yao yamo katika kitabu cha uzima.+

  • Ufunuo 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo, yule atakayeshinda+ atavikwa mavazi meupe,+ na kwa vyovyote sitalifuta* jina lake kutoka katika kitabu cha uzima,+ bali nitalikiri jina lake mbele za Baba yangu na mbele ya malaika zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki