Zaburi 69:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na wafutwe kutoka katika kitabu cha walio hai,*+Na wasiorodheshwe miongoni mwa waadilifu.+ Luka 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, msishangilie kwa sababu mnawatiisha roho waovu, bali shangilieni kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.”+
20 Hata hivyo, msishangilie kwa sababu mnawatiisha roho waovu, bali shangilieni kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.”+