Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mkuu+ wa ufalme wa Uajemi alinipinga kwa siku 21. Lakini Mikaeli,*+ mmoja wa wakuu wenye vyeo vya juu zaidi,* akaja kunisaidia; nami nikabaki huko kando ya wafalme wa Uajemi.

  • Yuda 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipopingana na Ibilisi na kubishana naye kuhusu mwili wa Musa,+ hakuthubutu kumhukumu kwa kumtukana,+ bali alimwambia: “Yehova* na akukemee.”+

  • Ufunuo 12:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na vita vikatokea ghafla mbinguni: Mikaeli*+ na malaika zake wakapigana na yule joka, naye joka na malaika zake wakapigana nao 8 lakini hawakushinda,* wala mahali hapakupatikana tena mbinguni kwa ajili yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki