Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yuda 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini wakati Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipokuwa na tofauti+ na Ibilisi na kubishana naye juu ya mwili wa Musa,+ yeye hakuthubutu kumhukumu kwa matukano,+ bali alisema: “Yehova na akukemee.”+

  • Yuda 9
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 9 Lakini wakati Mikaeli malaika mkuu alipokuwa na tofauti pamoja na Ibilisi na alikuwa akibishana juu ya mwili wa Musa, yeye hakuthubutu kuleta hukumu dhidi yake katika maneno yenye kuudhi, bali alisema: “Yehova na akukemee wewe.”

  • Yuda
    Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
    • mstari 9 cf 28-29; re 180-181; w98 6/1 17; w98 6/15 23

  • Yuda
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 9

      ‘Mfuasi Wangu’, kur. 28-29

      Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 121

      Mnara wa Mlinzi,

      2/15/2015, uku. 6

      6/15/1998, uku. 23

      6/1/1998, kur. 17-18

      2/1/1991, uku. 17

      Upeo wa Ufunuo, kur. 180-181

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki