-
Yuda 9Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
9 Lakini wakati Mikaeli malaika mkuu alipokuwa na tofauti pamoja na Ibilisi na alikuwa akibishana juu ya mwili wa Musa, yeye hakuthubutu kuleta hukumu dhidi yake katika maneno yenye kuudhi, bali alisema: “Yehova na akukemee wewe.”
-