9 Lakini Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipopingana na Ibilisi na kubishana naye kuhusu mwili wa Musa,+ hakuthubutu kumhukumu kwa kumtukana,+ bali alimwambia: “Yehova* na akukemee.”+
9 Lakini wakati Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipokuwa na tofauti+ na Ibilisi na kubishana naye juu ya mwili wa Musa,+ yeye hakuthubutu kumhukumu kwa matukano,+ bali alisema: “Yehova na akukemee.”+