Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Tazama, ninamtuma malaika+ mbele yako ili akuongoze barabarani na kukuingiza mahali ambapo nimetayarisha.+

  • Kutoka 32:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na sasa, njoo, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia juu yake. Tazama! Malaika wangu ataenda mbele yako,+ na siku ile nitakayoleta adhabu hakika mimi nitaleta adhabu juu yao kwa sababu ya dhambi yao.”+

  • Kutoka 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nitamtuma malaika mbele yako+ na kuwafukuza Wakanaani, Waamori, na Wahiti na Waperizi, Wahivi na Wayebusi;+

  • Danieli 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Hata hivyo, nitakuambia mambo yaliyoandikwa katika maandishi ya kweli,+ wala hakuna yeyote anayenitegemeza kwa nguvu katika mambo haya isipokuwa Mikaeli,+ yule mkuu wenu.+

  • Danieli 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na Mikaeli+ atasimama wakati huo, yule mkuu+ anayesimama+ kwa ajili ya wana wa watu wako.+ Na kutakuwa na wakati wa taabu ambayo haijapata kutokea tangu kuwapo kwa taifa lolote mpaka wakati huo.+ Na wakati huo watu wako wataponyoka,+ kila mmoja anayepatikana ameandikwa katika kile kitabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki