Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Malaki 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wakati huo wale wenye kumwogopa Yehova+ wakasemezana, kila mmoja na mwenzake, na Yehova akaendelea kutoa uangalifu na kusikiliza.+ Na kitabu cha kumbukumbu kikaanza kuandikwa mbele zake+ kwa ajili ya wale wenye kumwogopa Yehova na kwa ajili ya wale wanaolifikiria jina lake.+

  • Luka 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata hivyo, msishangilie juu ya hili, kwamba roho wanatiishwa kwenu, bali shangilieni kwa sababu majina+ yenu yameandikwa mbinguni.”

  • Waebrania 12:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 katika kusanyiko kuu,+ na kutaniko la wazaliwa wa kwanza+ ambao wameandikishwa+ mbinguni, na Mungu Mwamuzi wa wote,+ na maisha ya kiroho+ ya waadilifu ambao wamefanywa wakamilifu,+

  • Ufunuo 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yeye atakayeshinda+ atapambwa hivyo mavazi meupe ya nje;+ nami sitalifuta kwa vyovyote jina lake kutoka katika kitabu cha uzima,+ bali nitalikiri jina lake mbele za Baba+ yangu na mbele ya malaika+ zake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki