Zaburi 87:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova mwenyewe atatangaza, anapoandikisha vikundi vya watu:+“Huyu alizaliwa humo.”+ Sela. Ufunuo 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikaisikia hesabu ya wale waliotiwa muhuri, 144,000,+ waliotiwa muhuri kutoka kila kabila+ la wana wa Israeli:+ Ufunuo 21:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote anayeendelea kutenda chukizo+ na uwongo+ hataingia ndani yake hata kidogo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwana-Kondoo.+
4 Nami nikaisikia hesabu ya wale waliotiwa muhuri, 144,000,+ waliotiwa muhuri kutoka kila kabila+ la wana wa Israeli:+
27 Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote anayeendelea kutenda chukizo+ na uwongo+ hataingia ndani yake hata kidogo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwana-Kondoo.+