-
Ufunuo 21:27Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
27 Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote ambaye huendeleza kitu chenye kuchukiza sana na uwongo hataingia kwa njia yoyote ndani yalo; ila tu wale ambao wameandikwa katika hati-kunjo ya uhai ya Mwana-Kondoo.
-