14Nami nikaona, na, tazama! Mwana-Kondoo+ amesimama juu ya Mlima Sayuni,+ na pamoja naye 144,000+ wakiwa na jina lake na jina la Baba+ yake limeandikwa juu ya mapaji ya nyuso zao.
3 Nao wanaimba+ kana kwamba ni wimbo mpya+ mbele ya kile kiti cha ufalme na mbele ya wale viumbe hai wanne+ na wale wazee;+ na hakuna yeyote aliyeweza kujifunza kikamili wimbo ule ila wale 144,000,+ ambao wamenunuliwa+ kutoka duniani.