Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwana-Kondoo+ wa Mungu ambaye huondolea mbali dhambi+ ya ulimwengu!+

  • Ufunuo 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikamwona mwana-kondoo,+ kana kwamba alikuwa amechinjwa,+ akiwa amesimama katikati ya kile kiti cha ufalme+ na ya wale viumbe hai wanne na katikati ya wale wazee,+ akiwa na pembe saba na macho saba, macho ambayo yanamaanisha roho+ saba za Mungu ambazo zimetumwa katika dunia nzima.

  • Ufunuo 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na humo haitakuwapo laana yoyote tena.+ Bali kiti cha ufalme cha Mungu+ na cha Mwana-Kondoo+ kitakuwa katika jiji hilo, na watumwa wake watamtolea utumishi mtakatifu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki