Yohana 6:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Mimi ndio mkate ulio hai ulioshuka kutoka mbinguni; yeyote akila mkate huu ataishi milele; na, kwa kweli, mkate ambao nitatoa ni mwili+ wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.”+ 1 Yohana 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+ 1 Yohana 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa kuongezea, sisi wenyewe tumemwona+ na tunatoa ushahidi+ kwamba Baba amemtuma Mwana wake kuwa Mwokozi wa ulimwengu.+
51 Mimi ndio mkate ulio hai ulioshuka kutoka mbinguni; yeyote akila mkate huu ataishi milele; na, kwa kweli, mkate ambao nitatoa ni mwili+ wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.”+
2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+
14 Kwa kuongezea, sisi wenyewe tumemwona+ na tunatoa ushahidi+ kwamba Baba amemtuma Mwana wake kuwa Mwokozi wa ulimwengu.+