Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Naye atamchinja yule mbuzi wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili ya watu,+ naye ataileta damu yake ndani ya pazia+ na kufanya na hiyo damu+ sawa na vile alivyofanya na ile damu ya ng’ombe-dume; naye ataitapanya kukielekea kifuniko na mbele ya kifuniko.

  • Mathayo 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+

  • Yohana 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwana-Kondoo+ wa Mungu ambaye huondolea mbali dhambi+ ya ulimwengu!+

  • Yohana 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nami nina kondoo wengine,+ ambao si wa zizi hili;+ hao pia nitawaleta, nao wataisikiliza sauti yangu,+ nao watakuwa kundi moja, mchungaji mmoja.+

  • Ufunuo 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi nikamwambia mara moja: “Bwana wangu, wewe ndiye unayejua.” Naye akaniambia: “Hawa ndio wale wanaotoka katika ile dhiki kuu,+ nao wamefua kanzu zao na kuzifanya nyeupe+ katika damu+ ya Mwana-Kondoo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki