Mathayo 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 kwa maana ndipo kutakapokuwa na dhiki kuu+ ya namna ambayo haijapata kutukia tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka sasa,+ hapana, wala haitatukia tena. Marko 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 kwa maana siku hizo zitakuwa siku za dhiki+ ya namna ambayo haijatukia tangu mwanzo wa uumbaji ambao Mungu aliumba mpaka wakati huo, na haitatukia tena.+
21 kwa maana ndipo kutakapokuwa na dhiki kuu+ ya namna ambayo haijapata kutukia tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka sasa,+ hapana, wala haitatukia tena.
19 kwa maana siku hizo zitakuwa siku za dhiki+ ya namna ambayo haijatukia tangu mwanzo wa uumbaji ambao Mungu aliumba mpaka wakati huo, na haitatukia tena.+