-
Ufunuo 7:14Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
14 Kwa hiyo saa hiyohiyo nikamwambia: “Bwana wangu, wewe ndiwe ujuaye.” Naye akaniambia: “Hawa ndio wale watokao katika dhiki kubwa, nao wamefua kanzu zao na kuzifanya nyeupe katika damu ya Mwana-Kondoo.
-