Mathayo 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 kwa maana wakati huo kutakuwa na dhiki kuu+ ambayo haijawahi kutokea tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.+ Marko 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 kwa maana siku hizo zitakuwa za dhiki+ ambayo haijawahi kutokea tangu mwanzo wa uumbaji ambao Mungu aliumba mpaka wakati huo, na haitatokea tena.+
21 kwa maana wakati huo kutakuwa na dhiki kuu+ ambayo haijawahi kutokea tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.+
19 kwa maana siku hizo zitakuwa za dhiki+ ambayo haijawahi kutokea tangu mwanzo wa uumbaji ambao Mungu aliumba mpaka wakati huo, na haitatokea tena.+