14 Kwa hiyo Neno akawa mwili,+ akakaa katikati yetu, nasi tukautazama utukufu wake, utukufu kama ule ulio wa mwana mzaliwa-pekee+ kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa fadhili nyingi zisizostahiliwa na kweli.+
2 Mnalijua neno lililoongozwa na roho kutoka kwa Mungu+ kwa njia hii: Kila neno lililoongozwa na roho linalomkiri Yesu Kristo kuwa alikuja katika mwili hutokana na Mungu,+